Temu akiendelea kutoa elimu kwa wananchi katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Msisi Machi 21, 2022.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano MKURABITA, Glory Mbilimonyo akiendesha mafunzo ya kuwajengea uelewa na uwezo wananchi wa kijiji hicho kuhusu faida za urasimishaji ardhi.
Mkuu wa Idara ya Ardhi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Wilbad Ntongani akielezea utaratibu na sheria za umiliki wa ardhi.
Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Msisi, Samson Manewela akiwasihi wananchi kusikiliza kwa makini wakati wa mafunzo hayo.
Diwani wa Kata ya Msisi, Mathayo Malilo akiishukuru MKURABITA kuwapelekea mradi huo wenye manufa makubwa kwa wananchi kiuchumi.
Wananchi wakiwa makini kusikiliza wakati wa mafunzo hayo
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Maofisa wa MKURABITA wakiendesha mafunzo hayo.....
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇