Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akihutubia katika
Mkutano wa Mabalozi wa nchi Wanachama
wa Umoja wa nchi za Afrika, Caribbean na
Pacific (OACPS) uliofanyika katika Makao Makuu ya
Umoja huo Brussels nchini Ubelgiji leo tarehe 15 Februari, 2022.Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa nchi
Wanachama wa Umoja wa nchi za Afrika,
Caribbean na Pacific (OACPS) mara baada
ya Mkutano wa OACPS uliofanyika katika Makao Makuu ya Umoja huo Brussels nchini
Ubelgiji leo tarehe 15 Februari, 2022.Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Wageni katika Makao Makuu ya Umoja wa nchi za
Afrika, Caribbean na Pacific (OACPS) mara
baada ya kuhutubia leo tarehe 15 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
Your Ad Spot
Feb 15, 2022
RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA MABALOZI WA OACPS MJINI BRUSSELS, UBELGIJI, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About CCM Blog
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇