LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 10, 2022

MBUNGE KYOMBO AIBANA SERIKALI KUHUSU MKANGANYIKO WA URAIA KAGERA+video

Mbunge wa Nkenge, mkoani Kagera, Florent Kyombo ameihoji Serikali bungeni, kuwa ni lini itawatambua watu wenye haki ya uraia ili wapate vitambulisho vya Taifa na kuwapa uraia watu ambao siyo raia lakini wameishi nchini zaidi ya miaka 15.
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages