LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 7, 2022

MBUNGE GENZABUKE APAMBANIA BARARABARA YA UVINZA HADI MALAGALASI KIGOMA+video

 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke ameihoji serikali bungeni kwamba ni lini kipande cha Km 51 cha Barabara ya Uvinza hadi Malagalasi itajengwa kwa kiwango cha lami?

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages