LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 7, 2022

MBUNGE TADAYO: MAREKEBISHO YA SHERIA YA KUWASWEKA RUMANDE KABLA YA UPELELEZI NI UKOMBOZI KWA WANYONGE+video


 Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo ameipongeza Serikali kuleta bungeni marekebisho ya sheria iliyokuwa inaruhusu kumweka mtuhumiwa rumande kabla ya upelelezi kukamilika.

Ameyasema hayo alipokuwa akichangia bungeni Dodoma leo Februari 7, 2022 muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali (namba 7) ya mwaka 2021.

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Tadayo akitoa mchango wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages