Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu akikabidhiwa fomu ya kuwania uspika katika Makao Makuu ya CCM Dodoma leo.
Mbunge wa Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka akifurahia kuchukua fomu ya kuwania Uspika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma.
Mtumishi wa Serikali mwenye digrii 9 Prof. Handley Mpoki Mafwenga akiwa na fomu baada ya kuchukua tayari kuomba ridhaa kugombea nafasi ya uspika katika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Your Ad Spot
Jan 11, 2022
WENGI CCM WAZIDI KUJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA USPIKA
Tags
featured#
siasa#
Share This
About Author CCM Blog
siasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇