LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 18, 2022

KATIBU MKUU WA CCM AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE WA KAMATI KUU, WAZIRI MKUU MAJALIWA, JIJINI DODOMA, LEO

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akiwa  katika mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa ya CCM Waziri Mkuu wa Kassim Majaliwa Majaliwa katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM Jijini Dodoma, le.


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akimsindikiza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa ya CCM Waziri Mkuu wa Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya mazungumzo yao katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM Jijini Dodoma, leo  

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akimsindikiza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa ya CCM Waziri Mkuu wa Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya mazungumzo yao katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM Jijini Dodoma, leo (Picha na Makao Makuu ya CCM)

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages