Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia kwa makini wakati Waziri wa Madini Biteko akielezea mafanikio ya sekta hiyo pamoja na kutoa onyo kwa wanaotorosha madini kwamba wakibainika wataishia jela..
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Waziri wa Madini Biteko akielezea baadhi ya mafanikio ya sekta hiyo ya madini na kuwaonya wanaoyatorosha ......
Imeandaliwa na Richard Mwaikenda Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇