LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 18, 2021

UVIKO 19 (IMF): SERIKALI YACHANGIA TSH MILIONI 60 UJENZI WA SHULE SHIKIZI MWIKOKO, MUSOMA VIJIJINI+video


JIMBO la Musoma Vij  ijini kwa kutumia MICHANGO ya WANANCHI, MBUNGE wa JIMBO, MADIWANI na SERIKALI KUU (i.e. TAMISEMI) inajenga SHULE SHIKIZI 12 (kumi na mbili).


Kati ya hizo 12, Shule Shikizi tatu (Busambara, Kaguru na Mwikoko) zimepata FEDHA za UVIKO 19 (IMF) kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba vipya vya Madarasa.


Shule Shikizi Mwikoko, iko kwenye Kitongoji cha Mwikoko, Kijijini Chitare, Kata ya Makojo.


Sikiliza "CLIP" iliyoambatanishwa hapa - Wanakijiji wakiwemo Wanafunzi  wanaongelea ujenzi wa Shule Shikizi yao ya Mwikoko.


Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini





No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages