Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akizindua uwekaji jiwe la msingi Ujenzi wa Mradi wa Hoteli ya L'oasis Beach Resort Project Plan, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya mwaka Mmoja wa Uongozi wa Rais, katika Kijiji cha Kizimkazi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja, leo. Anayemsaidia kuzindua ni Mkurugenzi wa Mradi huo Ahmed Saber na kulia ni Mama Marium Mwinyi na Wapili kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji Mudrik Ramadhan Soraga. (Picha na Ikulu)
Your Ad Spot
Nov 3, 2021
Home
featured
Zanzibar
RAIS WA ZANZIBAR DK. MWINYI AMEWEKA JIWE LAMSINGI UJENZI WA L''OASIS BEACH RESORT PROJECT PLAN
RAIS WA ZANZIBAR DK. MWINYI AMEWEKA JIWE LAMSINGI UJENZI WA L''OASIS BEACH RESORT PROJECT PLAN
Tags
featured#
Zanzibar#
Share This
About Bashir Nkoromo
Zanzibar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇