Mchzaji wa timu ya Mtwara (jezi ya kijivu) akiruka kufunga goli
Wachezaji wa timu ya Unguja (jezi ya njano) wakigombea mpira na wachezaji wa Mtwara (jeyi ya kijivu)
Baadhi ya wapenzi wa mpira wa kikapu wakishuhudia mtanange huo.
Mdau, nakuomba uendelee kuangalia kupitia clip hii ya video mtanange kati ya Mtwara na Unguja.....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇