Mkurugenzi Idara ya Tiba wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.Vivian Wananji akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma Novemba 9,2021, kuhusu upatikanaji wa huduma za kusafisha damu (DIALYSIS) katika Hospitali za Rufaa za mikoa nchini. Kulia ni Dkt Colorine Damian Mkurugenzi Msaidizi Hospitali za Rufaa za Mikoa.
Mkurugenzi Idara ya Tiba wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.Vivian Wananji (katikati) akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma Novemba 9,2021, kuhusu kuanza kwa upatikanaji wa huduma za kusafisha damu (DIALYSIS) katika Hospitali za Rufaa za mikoa nchini. Kulia ni Dkt Colorine Damian Mkurugenzi Msaidizi Hospitali za Rufaa za Mikoa na Mkurugenzi Msaidizi Magonjwa yasiyoambukiza, Dkt, James Kihologwe.
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Dkt Wananji akielezea kiundani jinsi huduma hiyo itakavyokuwa inapatikana.....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA,MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇