Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipokataa kufungua barabara yenye uefu wa kilomia 1.2 iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Liwale mkoani Lindi ambayo ujenzi wake haujakamilika kwa mujibu wa mkataba uliotiwa saini kati ya mkadarasi na Serikali. Wa tatu kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, wa pili kulia ni Mbunge wa Liwale, Zuberi Kuchauka na kulia ni Meneja wa TANROADS mkoa wa Lindi Mlavi Efatha (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Your Ad Spot
Oct 7, 2021
Home
featured
Kitaifa
WAZIRI MKUU AGOMA KUFUNGUA BARABARA YA LAMI KWA KUWA UJENZI WAKE HAUJAKAMILIKA
WAZIRI MKUU AGOMA KUFUNGUA BARABARA YA LAMI KWA KUWA UJENZI WAKE HAUJAKAMILIKA
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇