Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi nyumba za makazi, katika eneo la Iyumbu, Dodoma Oktoba 31, 2021. Mradi huo wa ujenzi wa nyumba 1000 unatekelezwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angellina Mabula, Wa pili kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene.
Baadhi ya nyumba zilizopo Iyumbu karibu na Chuo Kikuu cha Dodo
Akipata maelezo alipokuwa akikagua vyumba kutoka kwa Mkurugenzi wa Ujenzi na Uhandisi wa NHC,Haikamen Mlakia
Waziri Mkuu akitoka kukagua baadhi ya nyumba hizo
Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Mazingira
Baadhi ya wabunge wakicheza muzikk uliokuwa ukiporomoshwa na Dodoma Musical Band
Baadhi ya watumishi wa NHC na wageni waalikwa
Baadhi ya viongozi wa CCM Mkoa wa Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu na viongozi wengineo.
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video hapa chini Waziri mkuu Majaliwa akilimwagia sifa hito shirika hilo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇