LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 15, 2021

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA MGODI WA MAKAA YA MAWE RUVUMA

 

Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko atembelea kampuni ya uchimbaji makaa ya mawe TANCOAL iliyopo wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma.

Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko akisalimiana na wachimbaji wa makaa ya mawe wa kampuni ya TANCOAL iliyopo wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma siku Ijumaa Agosti 13, 2021.

Waziri wa madini Mhe. Doto Biteko akitoa maelekezo kwa wachimbaji wa makaa yam awe wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages