Katibu
Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Daniel Godfrey Chongolo (kushoto) leo tarehe 15
Agosti, 2021 ameshiriki matembezi ya Km 5 yalioandaliwa na Benki ya CRDB
yenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya kugharamia matibabu kwa
watoto wenye Saratani na utunzaji wa mazingira nchini.
Matembezi
hayo yameanzia katika viwanja vya Green Park Osterbay ambapo Mgeni
Rasmi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim
Majaliwa Majaliwa (kulia).
CCM imeshiriki kusambaza tabasam kwa watoto wenye Saratani, CCM imeshiriki utunzaji wa Mazingira
Imeandaliwa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇