LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 30, 2021

KELELE NA MITETEMO INAPELEKEA VIFO- DKT. GWAJIMA

 
    Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima, amesema kuwa kitaalamu ni kwamba kelele na mitetemo ni moja wapo ya tatizo linalosababisha vifo na magonjwa Duniani.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma, wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Selemani Jafo, akitoa tamko kwa umma juu ya udhibiti wa uchafuzi wa mazingira utokanao na kelele na mitetemo, ambapo wamiliki wa maeneo ya burudani na starehe wametakiwa kuzingatia matumizi ya vipima kelele na vizuia sauti kama ilivyoelekezwa kwenye masharti yote ya leseni zao.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages