LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 11, 2021

SHULE YA FEZA WASHEREHEKEA SIKU YA MAMA DUNIANI

Mkuu wa Shule ya Awali Feza, wa tatu kutoka kushoto, Arzu yilmaz. wakikata keki kwa pamoja na Wazazi wakati wa kusherehekea siku ya Mama Duniani. Hafla hiyo ambayo imefanyika katika viwanja vya Shule hiyo iliyopo Mikocheni jijini Dar es salaam. Picha  na Ashrack Miraji.

 Wazazi wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kusherehekea siku ya Mama Duniani  na wakamuunga mkono Rais wa Awamu ya  Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kuwa watashirikiana  naye bega kwa bega hili kuleta maendelea kwa pamoja.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages