HABARI MPYA

Your Ad Spot

May 12, 2021

EID EL FITR NI KESHOKUTWA, WAISLAM NCHINI KUFUNGA RAMADHANI HADI KESHO KUKAMILISHA SIKU 30.

Muft wa Tanzania Sheikh Mkuu Aboubakar Zubery, akitangaza kutoonena kuandama kwa mwezi leo jioni.


Muft wa Tanzania Sheikh Mkuu Aboubakary Zuber amesema, Sikukuu ya Eid El Fitr itakuwa keshokutwa Siku ya Ijumaa na siyo kesho kama ilivyokuwa inatarajiwa na wengi.


Amesema kesho Waislam wa Tanzania aataendelea kufunga hadi Siku ya Ijumaa, kukamilisha siku 30 kwa kuwa mwezi haukuonekana popote hapa nchini.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages