LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 11, 2021

BORESHENI VITUO VYA WAZEE NCHINI- MBUNGE BAHATI

 Mbunge wa Viti Maalumu (Wazazi Tanzania Bara), Bahati Ndingo ameishauri serikali kuboresha Vituo vya Kulelea Wazee nchini na kujenga miundombinu mizuri inayowafaa.

Mbunge huyo kutoka Mkoa wa Mbeya, pamoja na mambo mengine ametoa ushauri huo alipokuwa akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto bungeni Dodoma leo Mei 11, 2021.

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages