LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 13, 2021

WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAPA NENO BUNGE SPORTS CLUB+video

Waziri Mkuu akipiga kura kuchagua viongozi wa Bunge Sports Club wakati wa uchaguzi uliofanyika Aprili 12,2021 kwenye ukumbi wa Msekwa, bungeni Dodoma. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mgombea ujumbe Ridhiwani kikwete akijitambusha kwa wajumbe
Wagombea ujumbe wa Klabu hiyo wakiwa jukwaa kuu kujitambulisha
Wagombea ujumbe wanawake wakijitambulisha kwa wajumbe
Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson aliyekuwa Mwenyekiti wa uchaguzi huo akitoa maelekezo
Wajumbe wakipiga kura




WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa akiwaonoza wabunge na maofisa wa Bunge kupiga kura za kuwachagua viongozi wa Bunge Sports Club na kuwapa neno kwenye Ukumbi wa Msekwa bungeni Dodoma Aprili 12, 2021. 

 Viongozi waliochaguliwa ni; Mwenyekiti ni Abbas Tarimba

 Makamu Mwenyekiti 
 Esther Matiku

 Meneja wa Klabu
 Seif Gulamali 


 Wajumbe ni; 
Ridhiwani Kikwete, Anna Lupembe, Rose Tweve, Stanslaus Mabula na Aeshi Hillal 

 Mdau nakuomba uendelee kumsikiliza kupitia kweny clip hi ya video Waziri Mkuu Majaliwa akitoa neno kwa wajumbe wa uchaguzi huo.... Imeandaliwa na Richard Mwaikenda 
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages