MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Mara, Agnes Marwa akielezea mchango wake kwenye viwanja vya Bunge Dodoma Aprili 12, 2021 kuhusu Utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Taifa, ambapo aliiomba serikali kuwanyanyasa wavuvi kwa kuchoma nyavu zao bali iwawekee mazingira mazuri wa kwa kuwapatia mikopo na kuwajengea mazingira mazuri ya kazi yao.
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video Mbunge Agnes Marwa akichangia mchango wake huo.... Imeandaliwa na Richard Mwaikenda Mhariri Blog ya Taifa ya CCM 0754264203Apr 13, 2021
SERIKALI MSIWANYANYASE WAVUVI, WAPATIWE MIKOPO-MBUNGE AGNES MARWA+video
Tags
Bunge#
featured#
Share This

About Richard Mwaikenda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇