LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 3, 2021

RAIS SAMIA ATUA JIJINI DAR ES SALAAM AKITOKEA DODOMA, LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Aboubakar Kunenge na viongozi wengine baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo alasiri.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi wa vyombo vya Ulinzi na Usalama baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo alasiri.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wakuu wa Wilaya katika Jiji la Dar es Salaam baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo alasiri.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan akienda kupanda gari baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo alasiri

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages