LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 16, 2021

RAIS DK.MWINYI AJUMUIKA NA WAUMINI WA KIISLAM WA MASJID ASSALAAM MLANDEGE KATIKA SALA YA TARAWEKH MASK

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Masjid Assalaam Mlandege Jijini Zanzibar alipowasili katika viwanja vya msikiti huo kwa ajili ya Ibada ya Sala ya Insha na Tarawekh iliofanyika katika Masjid hiyo jana usiku 15-4-2021.

  

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Kiislam katika Ibada ya Sala ya Tarawekh iliofanyika katika Masjid Assalaam Mlandege Jijini Zanzibar jana usiku.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages