LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 15, 2021

MBUNGE SHABIBY AIBUA MAMBO BUNGENI KUHUSU VINASABA VYA MAAFUTA,TARURA NA RUWASA+video

 Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby akichangia Randama ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zake, ameishauri serikali kurekebisha sheria ili baraza la madiwani wakiwemo wabunge waweze kuisimamia Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) na Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (Tarura) kuhusu miradi inayotekelezwa katika maeneo yao.


Aidha, Shabiby ameitaka Serikali kusitisha mkataba wa kampuni inayoweka vinasaba kwenye mafuta na kazi yake ifanywe na TBS na fedha zielekezwe Tarura kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa barabara.


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia kwenye clip hii ya video, Mbunge Shabiby akichangia  juu ya masuala hayo....


Imeandaliwa na Richard Mwaikenda

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM

0754264203


No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages