LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 16, 2021

WIKI YA AFYA YA KINYWA NA MENO DUNIANI, KITAIFA MKOANI IRINGA

Dkt. Jaffary Mohamed kutoka Kituo cha Afya Ngarenaro Hospitali Arusha akizungumza jambo na wananchi waliojitokeza kupata Huduma ya Afya ya Kinywa na Meno Bila Malipo katika Kituo cha Kihaule Ipogolo
  
   
Chama cha Wataalam wa Afya ya Kinywa na Meno Tanzania (TDA) Katika kuelekea Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani Machi 20, 2021 ambapo kitaifa itafanyika Mkoani Iringa.

Chama cha Wataalam wa Afya ya Kinywa na Meno jana Machi 15, 2021 wamewafikia wananchi takribani 650 katika vituo mbalimbali vikiwemo vituo vya watoto wenye mahitaji maalum, na Kliniki za afya ya uzazi na mtoto (RCH Kliniki). (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)


Dkt. Dorah Kiwele akitoa huduma kwa Mmoja wa Wanachi waliojitokeza kupata huduma ya Afya ya Kinywa na Meno Kituo cha  Afya Kihaule Ipogolo



 

2 comments:

  1. ni maeneo gani mengine ambayo huduma hii hufanyika mimi nasapoti juhudi zaa serikali kupitiakipaji changu

    ReplyDelete
  2. kama tutaambiwa itakuwa vyema maeneo mengine mikoani

    ReplyDelete

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages