LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 21, 2021

VIONGOZI,WACHEZAJI WA YANGA SC WASHIRIKI KUMUAGA HAYATI JOHN MAGUFULI

  

KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Abdul Razak Fiston akiwoangoza wachezaji wenzake na Maafisa mbalimbali kwenda kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli aliyefariki dunia Machi 17, mwaka huu leo uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Yanga, Dk Mshindo Msolla kiwoangoza wachezaji wenzake na Maafisa mbalimbali kwenda kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli    

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages