LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 28, 2021

TAIFA STARS YAICHAPA LIBYA BAO 1-0 YASHINDWA KUFUZU AFCON

 


*****************************

NA EMMANUEL MBATILO

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imefanikiwa kuichapa timu ya Taifa ya Libya bao 1-0 katika uwanja wa mkapa Jinini Dar es Salaam.

licha ya ushindi huo kwa Taifa Stars imewaweka katika nafasi ya tatu lakini hawajabahatika kufuzu hatua inayofuata katika michuano ya kutinga fainali za AFCON mwakani.

Goli la Taifa Stars liliwekwa kimyani na Mshambuliaji Saimon Msuva mnamo dakika ya 45+2 ya mchezo kipindi cha kwanza

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages