Mimi na Prince Philip tumepokea kwa mshangao mkubwa kifo cha Rais Dk. John Magufuli. Napenda kutuma Salam zangu za Rambirambi kwa mpendwa wake (Mama Janeth Magufuli) na kwa Wananchi wa Watanzania", amesema Queen Elizabeth katika salam zake za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli, kilichotokea Machi 17, 2021.
Your Ad Spot
Mar 21, 2021
MALIKIA WA UINGEREZA QUEEN ELIZABETH AOMBOLEZA KIFO CHA RAIS DK. MAGUFULI
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇