LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 29, 2021

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA

 


Spika wa Bunge Job Ndugai aklongoza kikao cha Kamati ya Uongozi ya Bunge leo Jijini Dodoma. Kikao hicho ni sehemu ya maandalizi ya Vikao vya Mkutano wa tatu wa Bunge la 12, vinavyotarajiwa kuanza Jumanne, Machi 30, 2021 Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages