LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 17, 2021

KAMATI YA MIUONDOMBIUN YATEMBELEA MRADI WA DARAJA LA SELANDER

 


Mshauri Muelekezi wa Ujenzi wa Daraja jipya la Selander Mhandisi Lulu Dunia  akiwaonyesha Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu hatua mbalimbali zilizofikiwa katika ujenzi wa Daraja jipya la Slender wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua ujenzi wa daraja hilo
pamoja na barabara unganishi . 

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROAD), Mhandisi Patrick  Mfugale akitoa ufanafanuzi wa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua ujenzi wa daraja hilo pamoja na barabara unganishi .

PICHA NA OFISI YA BUNGE

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages