LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 5, 2021

RAIS DK. HUSSEIN MWINYI AMTEMBELEA RAIS MSTAAFU DK. SHEIN BAADA YA KUSALI SALA YA IJUMAA, MJINI ZANZIBAR, LEO

 



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsalimia Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili nyumbani kwa Dk. Shein Kibele Wilaya ya Kati  Mkoa wa Kusini Unguja kwa ajili ya kumsalimia.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili nyumbani kwa Dk. Shein Kibele Wilaya ya Kati  Mkoa wa Kusini Unguja kwa ajili ya kumsalimia

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiondoka katika viwanja vya Msikiti Mkuu wa Ijumaa Bweleo baada ya kumaliza Sala ya Ijumaa iliofanyika katika msikiti huo leo na baadaye kwenda nyumbani kwa Rais Mstaafu Dk. Shein kumsalimia.(Picha na Ikulu, Zanzibar)

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages