LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 20, 2020

BIBI AMBAYE RAIS ALIAGIZA ASAIDIWE, ATISHIWA KUAWA AJILINDA KWA UZIO WA UMEME


Bibi mwenye miaka 94 mkazi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara Martha Kuzilwa,amemuomba Rais Magufuli kuingilia kati tena suala lake la ardhi aliloagiza lifanyiwe kazi kutokana nakutishiwa kuuawa hadi kupelekea kuweka fensi ya umeme kuzunguka nyumba yake kwa ajili ya kujilinda

Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania Chaula amekiri kulifahamu suala hilo na ameshapokea malalamiko ya bibi huyo kutishiwa nakumuagiza mkuu wa polisi wa wilaya (OCD) ambapo ameahidi kulifuatilia tena suala hilo

Suala lakutishiwa mtu huwa hatuliachi hivihivi nilimuagiza (OCD) aone namna bora yakumsaidia huyu mama kuwapata wanaomtishia “DC Chaula

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages