LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 18, 2020

AZZAN ZUNGU AKABIDHI OFISI KWA WAZIRI MPYA WA WIZARA YA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RrAIS MUUNGANO NA MAZINGIRA UMMY MWALIMUMU, LEO

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Azzan Zungu akimkabidhi baadhi ya nyaraka kwa Waziri mpya wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu, katika makabidhiano ya ofisi katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages