LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 4, 2020

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA MAANDALIZI YA MAHALI ATAKAKOAPISHIWA RAIS MTEULE DK. MAGUFULI, KESHO JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maandalizi ya uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo Novemba 4, 2020, ambao utatumika kwa ajili ya uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakaofanyika, kesho Novemba 5, 2020
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maandalizi ya uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo Novemba 4, 2020, ambao utatumika kwa ajili ya uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakaofanyika, kesho Novemba 5, 2020
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, wakati akiwasili kwenye viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma leo Novemba 4, 2020, kukagua maandalizi ya uwanja huo utakaotumika kwa ajili ya uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakaofanyika kesho Novemba 5, 2020. PICHA: OFISI YA WAZIRI MKUU
 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages