LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 9, 2020

MAJALIWA AMJULIA HALI MWANAMUZIKI NGULI KING KIKII NYUMBANI KWAKE TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

 

Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa leo amemtembelea na kumjulia hali mwanamziki mkongwe nchini Kikumbi Mwanza Mpango maarufu kama King Kikii, Nyumbani kwake Temeke kwa Azizi Ally, Jijini Dar es Salaam, leo.

Majaliwa amempa pole Kikii anayesumbuliwa na matatizo ya Mgongo na amemtakia pona ya haraka ili aweze kuendelea na majukumu yake kama kawaida.

King Kiki ni mmoja wanamuziki wakongwe nchini Tanzania na amewahi kuvuma kwa nyimbo kadhaa miongoni mwake ikiwa “Kitambaa cheupe”. 

Video👇

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages