LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 19, 2020

HAFLA YA KUWAKARIBISHA WABUNGE WAPYA WANACHAMA WA SIMBA TAWI LA MJENGONI DODOMA YAFANA

Wabunge wanachama wa Klabu ya Simba pamoja na wanachama wengine wa Tawi la Simba Mjengoni (Bungeni) wakiwa katika hafla maalumu ya kuwakaribisha wabunge wapya wanachama wa klabu hiyo jijini Dodoma Novemba 18,2020. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mama Salma Kikwete Mbunge wa Mchinga, ambaye ni Mke wa Rai mstaafu wa Awamu ya ya Nne, Jakaya Kikwete, akizungumza wakati wa hafla hiyo ambapo hata yeye ni mmoja wa wabunge wapya wanachama wa klabu hiyo.
Mama Salma akipongezwa na Mwenyekiti wa Tawi la Simba Mjengoni, Mbunge w Mlalo, Rashid Shangazi baada ya kutoa nasaha zake katika hafla hiyo.
Spika wa Bunge  ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo, akiteta jambo na baadhi ya wabunge wanachama wa Simba, Livingstone Lusinde maarufu Kibajaji na Aeshi.

Wakipata msosi

Rais wa Simba, Mohamed Dewji akimkabidhi zawadi ya jezi Spika Job Ndugai
Mwenyekiti wa Tawi la Simba Mjengoni, Rashid Shangazi akikabidhiwa zawadi ya jezi
Baadhi ya wabunge wanachama wa Simba


Spika Ndugai akiondoka huku akisindikizwa na  Mo Dewji pamoja na Mbunge wa Bumburi, January Makamba.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages