Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dk. Bashiru Ally akiwa na viongozi wa meza kuu baada ya kuwasili ukimbini kufungua Kikao cha siku mbili cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Kamati za Utekelezaji za Jumuiya za Chama - UVCCM, UWT na WAZAZI ukumbi wa White House Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma leo. Wengine kutoka kushoto ni Meenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania Gaudentia Kabaka Kisha akaendelea kuongoza kikao hicho. Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo na kulia ni Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James na Katibu wa NEC Oganaizesheni Perreira Silima. Chini ni picha zaidi za kikao hicho.👇
Your Ad Spot
Nov 29, 2020
Home
featured
siasa
DKT BASHIRU AFUNGUA KIKAO CHA SIKU MBILI CHA SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU YA CCM NA KAMATI ZA UTEKELEZAJI ZA JUMUIYA ZA CHAMA JIJINI DODOMA LEO
DKT BASHIRU AFUNGUA KIKAO CHA SIKU MBILI CHA SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU YA CCM NA KAMATI ZA UTEKELEZAJI ZA JUMUIYA ZA CHAMA JIJINI DODOMA LEO
Tags
featured#
siasa#
Share This
About Bashir Nkoromo
siasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇