LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 19, 2020

Video: MWENYEKITI WA WAFUGAJI TANZANIA WAMBURA AMUOMBEA KURA LUKUKI DK MAGUFULI

 


Mwenyekiti wa Wafugaji Tanzania, Wambura amefanya kampeni karibu mikoa 6 kumuombea kura Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli na amejinasibu kuwa ana mtaji mkubwa wa wafugaji takribani milioni 28 Tanzania nzima.

Wambura alizungumza hayo katika kampeni za CCM katika Kata ya Makole, jijini Dodoma hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages