LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 30, 2020

MAVUNDE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE DODOMA MJINI

Msamamizi wa Uchaguzi jimbo la Dodoma Mjini Wakili Msekeni Mkufya akikabidhi cheti cha ushindi wa Jimbo hilo  Antony Mavunde  wa Chama cha Mapinduzi kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 86,656 sawa na asilimia 86.44 akifuatiwa na Aisha  Madoga wa CHADEMA mwenye kura 13,589 sawa na asilimia 13.50 .

Mbunge Mteule wa Jimbo la Dodoma Mjini  Antony Mavunde  wa Chama cha Mapinduzi akitoa neno la shukrani kwa wanadodoma baada ya kumuwezesha kuibuka mshindi kwa kupata kura 86,656  akifuatiwa na Aisha  Madoga wa CHADEMA mwenye kura 13,589.


No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages