LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 13, 2020

RAIS MUSEVENI ALIVYOTUA CHATO, AJIRA KUMWAGWA BOMBA LA MAFUTA+VIDEO


Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli leo Chato amempokea Rais wa Uganda Yoweri Museveni na wote wakatia saini mkataba wa utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta ambapo kwa miaka 25 au zaidi wakati wa utekelezaji wa mradi huo, Serikali ya Tanzania itapata manufaa ya kikodi zaidi ya Tsh. Trilioni 7.5 pia ajira zaidi ya 10,000 kabla ya ujenzi na zaidi ya 8000 wakati wa utekelezaji wa mradi.

 

 

TAZAMA LIVE, RAIS MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WAKIONGEA BAADA YA KUTILIANA SAINI

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages