LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 14, 2020

MTOTO WA SIKU TATU AOKOLEWA BAADA YA KUTUPWA CHOONI BUKOBA

Na Allawi Kaboyo Bukoba

Jeshi la zima moto na uokoaji Wilayani Ngara Mkoani Kagera limefanya uokozi wa Mtoto mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa kuanzia siku 0-3 baada kutupwa kwenye shimo la choo cha zahanati ya Mshikamano iliyopo wilayani humo.


Akizungumzia tukio hilo Kwa waandishi wa habari mjini Bukoba Kamanda wa jeshi hilo Inspector Hamiss Dawa ameeleza kuwa tukio hilo limetokea leo majira ya asubuhi na wao wamepata taarifa hizo kutoka kwa jeshi la polisi.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages