![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli
akipita na kukagua Daraja la Mkapa linalopita katika Mto Rufiji mkoani
Pwani wakati akitokea Masasi Mtwara kwenye msiba wa Marehemu Rais
Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa leo tarehe 30 Julai
2020. Daraja hilo linalounganisha Pwani na Mikoa ya Lindi na Mtwara
lilijengwa na Serikali ya Awamu ya Tatu chini ya Rais Mstaafu
wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇