LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 6, 2020

WINGA WA TP MAZEMBE AWASILI DAR KUJIUNGA NA YANGA SC, ATAUNGANA NA KIKOSI ZANZIBAR KOMBE LA MAPINDUZI


KIUNGO mshambuliaji, Owe Bonyanga Ituku akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Mashndano ya Yanga SC, Hersi Said baada ya kuwasili nchini kutoka kwao, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tayari kujiunga na timu hiyo baada ya kuchezea klabu mbalimbali kwao ikiwemo TP Mazembe ya Lubumbashi.  moja kwa moja ataungana na kikosi kilichopo Zanzibar kinachoshiriki Kombe la Mapinduzi.
Kulia ni Meneja wa Owe Bonyanga Ituku, Mutuale Nestoresangule kwa pamoja na Injinia Hersi Said, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa kampuni ya GSM

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages