LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 6, 2020

SIMBA SC WALIVYOWASILI KISIWANI PEMBA JANA TAYARI KUMENYANA NA ZIMAMOTO KESHO KOMBE LA MAPINDUZI


Kiungo Ibrahim Ajibu akiwaongoza wenzake baada ya kikosi kuwasili kisiwani Pemba jana tayari kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi, ambayo inatarajiwa kuanza leo huku mabingwa hao wa Tanzania wakicheza mechi yao ya kwanza kesho kwa kumenyana na Zimamoto Saa 10:15 Uwanja wa Gombani, mchezo ambao utarushwa LIVE na Azam Sports 2 


No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages