LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 8, 2020

TRENI YAGONGWA NA GARI DOGO

Leo majira ya saa 2:00 asubui eneo la vingunguti jijini Dar es Salaam kumetokea ajari ambapo gari ndogo imeigonga treni ya abiria amboyo ilikua inatokea Dar kuelekea Mpanda, Kigoma, Mwanza na Tabora.

Bado aijaripotiwa kutokea na kifo chochote bali ni majeruhi mmoja ambaye alikua ni dereva wa gari ndogo ambaye amekimbizwa hospitalini kwaajili ya matibabu.


No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages