LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 23, 2020

SAMATTA AANZA KUJIFUA ASTON VILLA IKIJIANDAA KUIVAA LEICESTER CITY JUMANNE

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akimiliki mpira kwenye mazoezi ya klabu yake, vwanja vya Bodymoor Heath, jirani na Kingsbury, Kaskazini mwa Warwickshire.
Samatta aliyesajiliwa Aston Villa wiki hii kwa dau la Pauni Milioni 10 kutoka KRC Genk ya Ubelgiji anatarajiwa kuanza kazi rasmi katika klabu yake hiyo mpya Jumanne itakapomenyana na Leicester City katika Kombe la Ligi England  

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages