Rais Magufuli amempongeza Rais wa Namibia Hage Geingob kwa kuchaguliwa kwa mara nyingine kuwa Rais wa Nchi hiyo na kusema hiyo ni ishara tosha ya kuwa Watu wa Namibia wana Imani kubwa kwake
Kupitia ukurasa wa Twitter wa Rais Magufuli ameandika
About khamisimussa77@gmail.com
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇