Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu,
Jenista Mhagama (wa pili kushoto) akipatiwa
maelezo na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano cha Shirika la Viwango Tanzania
(TBS), Roida Andusamile (wa pili kulia) kuhusu shirika hilo linavyowahudumia Wajasiriamali
wakati wa kilele cha Maonesho ya Baraza
la Uwezeshaji la Taifa yaliyofanyika mkoani Simiyu kuanzia Oktoba 14 hadi 20
mwaka huu.
Your Ad Spot
Oct 20, 2019
Home
Unlabelled
WAZIRI MHAGAMA ATEMBELEA BANDA LA TBS MAONESHO YA BARAZA LA UWEZESHAJI LA TAIFA MKOANI SIMIYU
WAZIRI MHAGAMA ATEMBELEA BANDA LA TBS MAONESHO YA BARAZA LA UWEZESHAJI LA TAIFA MKOANI SIMIYU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇