Mkurugenzi wa Upimaji na Ugezi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mhandisi Johanes Maganga akifungua semina ya wasafirishaji wa mazao ya kilimo na vyakula kwenda nje ya nchi, katika Ukumbi wa Anatoglo Dar es Salaam jana. Semina hiyo iliyohudhuriwa na wafanyabishara 150, imelenga katika kutoa elimu juu ya utaratibu wa kufuata wakati wa kusafirisha bidhaa hizo na elimu hiyo imetolewa kwa kushirikisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tan Trade, Wizara ya Kilimo na Wizara ya Viwanda na Biashara.
Your Ad Spot
Oct 24, 2019
Home
Unlabelled
TBS YAWAPIGA MSASA WAFANYABIASHARA KUHUSU UTARATIBU WA KUSAFIRISHA NJE YA NCHI MAZAO YA KILIMO NA VYAKULA
TBS YAWAPIGA MSASA WAFANYABIASHARA KUHUSU UTARATIBU WA KUSAFIRISHA NJE YA NCHI MAZAO YA KILIMO NA VYAKULA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇